top of page

Mbona kuna uhaba wa sukari

  • A. Ferrari ( BBC video)
  • 25 mai 2016
  • 1 min de lecture

Msamiati

mfumuko wa bei : inflation

uagizaji kutoka nje: import

kuuza nje: export

biasharanje: export

uzalishaji wa ndani : local production

upungufu: deficit

miwa: sugar cane

Maana tofauti za “kuwa”

The verb/ auxilary kuwa usually expresses the concept of to be or to have ( kuwa na), it is also used to form compound verbs but it can also have other meanings.

kwa kuwa : kwa sababu

kuwa (baada ya kitenzi): kwamba

inakuwaje ( pia ilikuwaje na itakuwaje): je hii inawezekana? ( pia ni salamu: habari!)

ikiwa: kama

ijapokuwa (or ijapo) : though, while, despite the fact of.

Zoezi la kwanza : Jaza sentensi zifuatazo na maneno hayo: ikiwa – kuwa – kwa kuwa – ijapokuwa -inakuwaje

1. Mwuzaji wa chai anasema ……….. uhaba wa sukari umemwathiri sana.

2. …………………… sukari iagizwe kutoka Brazil na bado iwe rahisi kuliko sukari ya hapa.

3. Wananchi wanalalamika ……….... sukari haipatikani kirahisi na ikipatikana inauzwa kwa bei ghali.

4. Watu wamezoea kununua chai mia mbili, ………. unawaambia chai ni mia tatu wanaacha, hawataki kununua.

5. ................... bei ya sukari imepanda sana, mwuzaji anaendelea kuuza chai mia mbili tu.

Zoezi la pili: andika mukhtasari kuhusu mambo yanayozungumzwa kwenye video, jaribu kutumia kwa kuwa, kuwa, ikiwa n. k.


Comments


  • Facebook Clean Grey
  • Twitter Clean Grey
  • LinkedIn Clean Grey
bottom of page